Kumeza

Mapenzi kama kujisalimisha, pumzi kama udanganyifu

Kumeza — a poem by Pemba Umoja

Nakupenda kama vile siwezi kupumua

Kama nipo chini ya maji

Na wewe juu

Jua likimulika kupitia mikondo

Kinachonipasa kufanya

Ni kumeza maji

Kufa

Kupaa

Hakuna haja ya pumzi

Mapenzi ni mpigo wa moyo wangu

Wewe ni oksijeni yangu

A poem by Pemba Umoja